Wananchi wa ARMENIA wafanya kumbukumbu ya mauaji ya halaiki
Mamia
ya wananchi wa ARMENIA, wamejitokeza katika mitaa ya mji mkuu wan chi
hiyo, kukumbuka mauji ya raia wenzao waliouawa katika mauaji ya halaiki
Mamia ya wananchi wa ARMENIA, wamejitokeza katika mitaa ya
mji mkuu wa nchi hiyo, kukumbuka mauji ya raia wenzao waliouawa katika
mauaji ya halaiki wakati wa utawala wa OTTOMAN, kwenye karne ya KUMI na
tano.
Watu hao walijitokeza na kuwasha mienge ya matumani mapya huku wakichoma bendera za nchi za UTURUKI na AZABAIJAN, nchi ambazo kwa wakati huo zilishiriki katika mauaji ya watu wa jamii ya ARMENIA.
Utawala wa kifalme wa OTTOMAN, wakati huo, ulikuwa ni kutoka nchini UTURUKI na ulimiliki sehemu kubwa ya dunia.
Watu hao wanasema, wameandamana wakitaka serikali ya UTURUKI, kutambua kuwa mauji yaliyofanywa na nchi hiyo wakati wa utawala wa OTTOMAN, yalikuwa ni uhalifu dhidi ya ubinadamu, na wananchi wanataka nchi hiyo kuwaomba radhi.
Wamesema, babu na bibi zao waliowapoteza katika kipindi hicho watawakumbuka daima, na wanataka jumuiya ya kimataifa ikumbuke kile kilichotokea katika jamii yao na kukilaani ili kisitokee tena.
April 25, 2016
JUDICA LOSAI
Watu hao walijitokeza na kuwasha mienge ya matumani mapya huku wakichoma bendera za nchi za UTURUKI na AZABAIJAN, nchi ambazo kwa wakati huo zilishiriki katika mauaji ya watu wa jamii ya ARMENIA.
Utawala wa kifalme wa OTTOMAN, wakati huo, ulikuwa ni kutoka nchini UTURUKI na ulimiliki sehemu kubwa ya dunia.
Watu hao wanasema, wameandamana wakitaka serikali ya UTURUKI, kutambua kuwa mauji yaliyofanywa na nchi hiyo wakati wa utawala wa OTTOMAN, yalikuwa ni uhalifu dhidi ya ubinadamu, na wananchi wanataka nchi hiyo kuwaomba radhi.
Wamesema, babu na bibi zao waliowapoteza katika kipindi hicho watawakumbuka daima, na wanataka jumuiya ya kimataifa ikumbuke kile kilichotokea katika jamii yao na kukilaani ili kisitokee tena.
April 25, 2016
JUDICA LOSAI
No comments