Wafanyabiashara wadogo waondolewa Msimbazi
Halmashauri
ya Manispaa ya Ilala imewaondoa wafanyabiashara wadogo waliokuwa
wanafanya shughuli zao kwenye njia ya mabasi yaendayo haraka BRT mtaa wa
Msimbazi katika eneo la Kariakoo jijini Dar Es Salaam
Akizungumza wakati wa kuwaondoa wafanyabiashara hao na
kusambaza mapipa ya kuwekea taka katika mtaa huo, Mkuu wa wilaya ya
Ilala Raymond Mushi amesema wafanyabiashara hao watapangiwa maeneo
mengine ya kufanyia biashara.
Na Fatma Matulanga
25 April 2016
Na Fatma Matulanga
25 April 2016
No comments