• Breaking News

    Mtu mmoja ajeruhiwa kwa moto mkoani KAGERA


    Mtu mmoja amejeruhiwa kwa moto baada ya magari mawili yaliyokuwa yakipakua mafuta kwa kutumia jenereta kulipuka karibu na eneo la BENAKO wilayani NGARA mkoani KAGERA
    Mkuu wa wilaya ya NGARA, HONORATHA CHITANDA
    Mkuu wa wilaya ya NGARA HONORATHA CHITANDA amesema gari lililokuwa limebeba mafuta likitokea DSM kwenda RWANDA lilipata hitilafu hatua iliyowafanya wahamishe mafuta kwenda gari lingine.

    April 25, 2016
    NORAH ULEDI

    No comments

    Post Top Ad