• Breaking News

    Rais ZUMA afanya ziara nchini IRAN


    Rais JACOB ZUMA wa Afrika Kusini yuko nchini Iran kwa ziara ya siku mbili

    Rais ZUMA ameongozana na ujumbe wa maafisa wa serikali na wafanyabiashara anatarajiwa kufanya mazungumzo kuhusu kujenga tena uhusiano wa kibiashara, ambao ulizuiliwa wakati IRAN ilipowekewa vikwazo vya kimataifa, kwa sababu ya mradi wake wa nyuklia.
    Rais ZUMA amesema baada ya vikwazo hivyo kuondolewa zimefunguka fursa mpya za kufanya biashara baina ya IRAN na bara la Afrika.
    Bidhaa ambazo Afrika Kusini iliiuzia IRAN mwaka 2014 zilikuwa ni asilimia 20 ya kiwango cha miaka sita iliyopita.

    April 25, 2016
    Aaron Mrikaria

    No comments

    Post Top Ad