• Breaking News

    Rais OBAMA afanya ziara nchini UJERUMANI


    Rais BARACK OBAMA wa Marekani ameanza ziara rasmi nchini UJERUMANI akiwa na lengo la kuzungumzia mkataba wa kibiashara unaopendekezwa
    Rais BARACK OBAMA wa Marekani na kansela wa Ujerumani Angela Merkel
    Rais BARACK OBAMA wa Marekani ameanza ziara rasmi nchini UJERUMANI akiwa na lengo la kuzungumzia mkataba wa kibiashara unaopendekezwa, baina ya Marekani na Bara la Ulaya, uitwao T-TIP.
    Kabla ya ziara yake, Waziri wa Uchumi wa UJERUMANI, SIGMAR GABRIEL, ameeleza kuwa MAREKANI haitaki kampuni za Ulaya kuomba kandarasi za MAREKANI.
    Mapema maelfu ya watu waliandamana, katika mji wa HANOVER, kupinga mkataba huo.
    Rais OBAMA ambaye atakuwa nchini UJERUMANI kwa ziara ya siku mbili amesema mkataba huo utaleta ajira na kukuza uchumi.

    April 25, 2016
    Aaron Mrikaria

    No comments

    Post Top Ad