Wananchi wajenga kituo cha polisi ili kuzuia uhalifu
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa KAGERA ,AUGUSTIN OLLOMI
Wakizungumzia hatua hiyo, baadhi ya wananchi wameiomba serikali kusaidia kukamilisha ujenzi wa kituo hicho ili kurejesha hali ya utulivu katika kata hiyo ambapo baadhi ya wananchi wamekuwa wakihama makazi yao kwa hofu ya matukio ya uhalifu katika kata hiyo.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa KAGERA ,AUGUSTIN OLLOMI ambaye ameweka jiwe la msingi la kituo hicho cha Polisi ,amewataka wananchi hao kuungana dhidi ya uhalifu unaondelea katika kata hiyo
No comments