• Breaking News

    TAA yashauri somo la urubani lifundishwe kukidhi soko


     Image result for airplane of egypt
    Mamlaka ya viwanja vya ndege nchini TAA imekitaka chuo cha usafiri wa anga cha Regional Aviation cha Dar Es Salaam kuanza kufundisha fani ya urubani ili kukidhi soko la ndani la wataalam wa fani hiyo.
    Akizungumza katika mahafali ya chuo hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu George Sambali amesema baada ya serikali kusitisha  kusomesha marubani, ndege nyingi za Tanzania zinaendeshwa na marubani wageni kutokana na upungufu wa marubani wazawa.

    Naye Mkuu wa chuo hicho Philemon Kisamo amesema wanafunzi 70 wa fani za uhudumu wa ndege wamehitimu mwaka huu.

    chanzo:TBC

    No comments

    Post Top Ad