Polisi yatawanya waandamanaji Nairobi
Polisi
nchini Kenya wametumia mabomu ya kutoa machozi na maji ya kuwasha
kuwatawanya waandamanaji waliokusanyika karibu na ofisi za Tume huru ya
Uchaguzi na Mipaka – IEBC
Polisi yatawanya waandamanaji Nairobi
Polisi nchini Kenya wametumia mabomu ya kutoa machozi na
maji ya kuwasha kuwatawanya waandamanaji waliokusanyika karibu na ofisi
za Tume huru ya Uchaguzi na Mipaka – IEBC mjini Nairobi kuishinikiza kujiuzulu kabla ya uchaguzi wa rais mwaka ujao.Mamia ya waandamaji waliweka ahadi ya kuandamana kila Jumatatu mpaka matakwa yao yatakaposikilizwa.
Ulinzi umeimarshwa katika mji huo mkuu wa Kenya ili kuwadhibiti waandamanaji hao.
Judica Losai
No comments