YANGA yashauriwa kutobweteka
Aliyekuwa
mchezaji wa klabu ya YANGA ALLY MAYAI TEMBELE na mchamuzi wa masuala ya
soka imeitaka klabu ya YANGA kutobweteka katika mashindano ya kombe la
shirikisho baada ya kutolewa ligi ya mabingwa AFRIKA
MAYAI amesema timu pinzani ya YANGA ya SAGRADA ya ANGOLA iko vizuri tofauti na watu wanavyoichukulia
Baada ya kutolewa katika michuano ya ligi ya mabingwa ya AFRIKA YANGA sasa inacheza kombe la shirikisho kwa kucheza na SAGRADA ESPERANCA ya ANGOLA na wataanzia hapa nyumbani
Akizungumzia mchezo wa kombe la FA MAYAI amesema hatashangaa kuona timu kubwa zinatupwa nje kutokana na kuwa presha wakati wa mchezo
Katika nusu fainali ya FA YANGA iko TANGA kucheza na COASTAL UNION wakati AZAM FC iko SHINYANGA kucheza na MWADUI FC michezo yote itapigwa siku ya jumapili
April 23, 2016
EVANCE MHANDO
Baada ya kutolewa katika michuano ya ligi ya mabingwa ya AFRIKA YANGA sasa inacheza kombe la shirikisho kwa kucheza na SAGRADA ESPERANCA ya ANGOLA na wataanzia hapa nyumbani
Akizungumzia mchezo wa kombe la FA MAYAI amesema hatashangaa kuona timu kubwa zinatupwa nje kutokana na kuwa presha wakati wa mchezo
Katika nusu fainali ya FA YANGA iko TANGA kucheza na COASTAL UNION wakati AZAM FC iko SHINYANGA kucheza na MWADUI FC michezo yote itapigwa siku ya jumapili
April 23, 2016
EVANCE MHANDO
No comments