• Breaking News

    WEMA SEPETU Avunja Record Nyingine Bongo Awa Mwanamke wa Kwanza Kufikisha Followers Mil 2 Instagram

    Baada ya Mwanamuziki Diamond Platnumz Kuvunja Record ya kuwa msanii wa kwanza kufikisha wafuasi Million mbili kwenye Instagram Africa Mashariki , sasa Wema Sepetu nae amekuwa mwanamke wa kwanza kufikisha idadi hiyo ya followers million 2 kwenye mtandao wa Instagram,

    No comments

    Post Top Ad