• Breaking News

    Koffi Olomide akamatwa DR Congo na Kuhukumiwa Kifungo

    KINSHASA, CONGO: Mahakama imemhukumu Mwanamuziki Koffi Olomide, miezi 18 jela kwa kumpiga mnenguaji wake wa kike wiki iliyopita.
    Hukumu yake hiyo haina adhabu mbadala ya kulipa faini kwa hiyo kutumikia hiyo miezi 18 jela

    No comments

    Post Top Ad