• Breaking News

    CUF: Prof. Ibrahimu Lipumba Unaweza Kugombea Uenyekiti wa Chama.

    Chama cha wananchi CUF kimesema kuwa, aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho Prof Ibrahimu Lipumba, anaweza akagombea tena uenyekiti wa chama hicho kwani ana uwezo mkubwa. Hayo yamesemwa na Kaimu Katibu Mkuu wa CUF-Bara alipokuwa akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

    Uchaguzi utafanyika 21 August 2016

    No comments

    Post Top Ad