• Breaking News

    Wanafunzi Chuo Kikuu UDSM Wagoma..Kisa Hichi Hapa

    Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) leo wamegoma wakiishinikiza Bodi ya Mikopo(HESLB) kuwapatia fedha zao za kujikimu.

    Kwa kawaida wanafunzi hupewa fedha za kujikimu kila baada ya miezi miwili

    No comments

    Post Top Ad