Swala la Sukari lisitu Sahaulishe Lugumi na Ripoti ya CAG..... Tusiwe Wepesi Wakutolewa Kwenye Reli-Henry Kilewo
Hivi ile kamati ya PAC imeishia wapi na ishu ya Lugumi? Mbona hapa pako
kimya? Na tukizingatia ni ishu inayogusa jeshi letu la polisi? Hapa jipu
halitumbuliki?
Nimejiuliza maswali hayo nikasema nilini Watanzania tutalazimisha Watawala wajue tumechoka na kusikia ishu zikiibuliwa na kuishia njia.... Au huko Bungeni wanaliongelea na sisi huku hatusikii wala kuona kwakuwa Bunge halipo live?
Swala la Sukari lisitu sahaulishe Lugumi na Ripoti ya CAG..... tusiwe wepesi wakutolewa kwenye Reli, Lugumi na Ripoti ya CAG imeishia wapi ama inaendeleaje?
HUU MCHEZO HAUHITAJI HASIRA
By Henry Kilewo
Nimejiuliza maswali hayo nikasema nilini Watanzania tutalazimisha Watawala wajue tumechoka na kusikia ishu zikiibuliwa na kuishia njia.... Au huko Bungeni wanaliongelea na sisi huku hatusikii wala kuona kwakuwa Bunge halipo live?
Swala la Sukari lisitu sahaulishe Lugumi na Ripoti ya CAG..... tusiwe wepesi wakutolewa kwenye Reli, Lugumi na Ripoti ya CAG imeishia wapi ama inaendeleaje?
HUU MCHEZO HAUHITAJI HASIRA
By Henry Kilewo

No comments