Habari Mbaya Kutoka Ubelgiji...Mchezaji Samatta Aumia Pua Mchezoni..Anasubiri Vipimo Kujua Kama Pua Imevunjika

Kipindi cha pili Samatta alishindwa kurudi uwanjani kuendelea na mchezo kutokana na maumivu aliyoyapata kipindi cha kwanza baada ya kugongwa pua. Ilibidi nafasi yake ichukuliwe na Nikolaos Karelis aliyeingia dakika ya 46 kipindi cha pili.
Timu ya Genk imepoteza mchezo wake wa Jupiter League baada ya kukubali kipigo cha 2-1 vs Gent.
No comments