• Breaking News

    TPDC yalipa fidia sh. Mil 300 kupisha ujenzi wa kiwanda cha mbolea


    Shirika la Maendeleo la Petrol Nchini - TPDC limeendelea kulipa fidia kwa Wakazi wa vitongoji vya MIEMBE - MIWILI na MNAZI Mmoja
    Shirika la Maendeleo la  Petrol Nchini - TPDC limeendelea kulipa fidia kwa Wakazi wa vitongoji vya MIEMBE - MIWILI na MNAZI Mmoja katika Mji mdogo wa KILWA MASOKO ili kupisha ujenzi wa kiwanda cha  mbolea   cha  Kilamco kinachotarajiwa kujengwa wilayani humo.
    Kiongozi wa timu ya malipo kutoka TPDC, -  ISUMAILI NALEJA amesema kuwa jumla ya Shilingi Milioni 300 zimetengwa kwa ajili ya kulipa fidia kwa Wakazi hao.
    Nae Mwenyekiti wa kitongoji  cha  Miembe Miwili Yusufu Halafu ameishukuru serikali ya awamu ya tano kusikiliza kilio  cha  wananchi  cha  muda mrefu kuda ifidia yao na kuiomba halmashauri ya wilaya ya kilwa kuharakisha upimaji wa viwanja kwaajili ya wananchi ambao wamepewa muda wa miezi miwili kuondoka eneo hilo kupisha shughuri za ujenzi wa kiwanda hicho

    No comments

    Post Top Ad