• Breaking News

    KOCHA UGANDA AVIMBA KIFUA

     

     

    Kocha wa timu ya taifa ya Uganda, Milutin Micho amesema, haziongopi timu za Ghana, Mali na Misri ambazo zimepangwa pamoja katika kundi D katika fainali za kombe la mataifa ya Afrika AFCON 2017 ambazo zitafanyika nchini Gabon mwakani.micho

    Micho amesema, atajipanga kuhakikisha timu yake inafanya vyema katika mashindano hayo na kuuwakilisha vyema ukanda wa Afrika mashariki, CECAFA katika mashindano.

    Milutin Sredojevic, coach of Uganda during 2014 Fifa World Cup Qualifier football match between Uganda and Liberia at the Mandela Stadium, Namboole, Kampala on 08 June 2013 ©Gavin Barker/BackpagePix

    Kundi A lina timu za Gabon, Burkina Faso,Cameroon na Guinea Bissau, wakati kundi B lenyewe lina Algeria, Tunisia, Senegal na Zimbabwe Timu ya Taifa ya Ivory Coast itapambana na kocha wake wa zamani Herve Renard baada ya kupangiwa katika kundi moja na Morocco, Togo na DR Congo katika michuano ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika.

    No comments

    Post Top Ad