Bodi ya mikopo kufanya uhakiki wa wanafunzi
Mkurugenzi wa mtendaji wa HESLB, Abdul-Razaq Badru amesema zoezi hilo litaanza Jumanne na wanafunzi wote watatakiwa kujaza dodoso ambalo litatolewa ambalo litawekwa kwenye mtandao wa bodi hiyo.
"Lengo letu ni kujiridhisha kama wanaonufaika wote kweli wanamahitaji sanjali na kuhakiki orodha yetu upya, katika hilo wale ambao hadhi zao zitaonesha kuwa sio wahitaji watapoteza sifa za kendelea kunufaika na mkopo," alisema
No comments