• Breaking News

    Rais Yoweri Museveni Kutawala Uganda Milele, Muswada wa Kubadili Katiba Kuwasilishwa leo

    Leo Serikali ya Uganda itawasilisha muswada Bungeni unaotaka kubadilisha Katiba ili Rais Yoweri Museveni aweze kutawala milele.

    Nini maoni yako juu ya hiki kinachotaka kufanyika?

    Post Top Ad