• Breaking News

    Wakurugenzi 3 Waliotumbuliwa MSD Warudishwa Kazini


    Bodi ya Wadhamini ya Bohari ya Dawa (MSD), yaamua kuwarudisha kazini Wakurugenzi 3 kati ya 4 waliosimamishwa kazi Februari 15.

    Walikutwa hawana hatia kutoka kwenye tuhuma mbalimbali zilizokuwa zinawakabili

    No comments

    Post Top Ad