• Breaking News

    Hichi ni Kiasi cha Pesa Kilichoingia Tangu Daraja la Kigamboni Lianze Kutumika


    Tangu daraja jipya la Kigamboni lianze kutumika rasmi tarehe 19/04/2016 limekusanya jumla ya shilingi bilioni 1.3 kutokana na tozo za vyombo vya usafiri.

    Daraja hilo liligharimu dola za kimarekani milioni 136 ambazo ni takribani bilioni 300 kwenye ujenzi wake.

    No comments

    Post Top Ad