• Breaking News

    AJALI: Basi la UDA Laigonga Treni Eneo la Gerezani - Kariakoo, Dar

    Ajali mbaya sana imetokea jana Kariakoo Gerezani, watu sita wamepoteza maisha papo hapo akiwemo konda wa kampuni ya Uda dereva kakimbia baada ya basi hilo kugongana na Treni...Mungu awalaze mahali pema wote waliopoteza maisha

    No comments

    Post Top Ad