Mwenendo wa Jengo la Machinga Complex umesababisha Waziri wa Magufuli kutoa maamuzi haya
Waziri Simbachawene amelikabidhi Jengo hilo kwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda kwa ajili ya kuandaa mpango wa kuwaingiza wafanyabishara bila masharti huku ukiangaliwa utaratibu mpya kwa wafanyabiashara hao pia amewataka watumishi wa jengo hilo kuondoka mara moja na kutafuta kazi nyingnine.
Aidha Waziri Simbachawene ameziagiza halmashauri zote nchini kutotoa vibali vya leseni za biashara kwa wafanyabiashara wa kigeni hadi tamko litoke Wizarani kwake. Lengo likiwa ni kuongeza nafasi kwa wafanyabiashara wa nyumbani.
No comments