Hii Hapa Ndio Hali ya Msanii CHID BENZ Baada ya Kukaa Sober House Kwa Mwezi Mmoja...

Ikumbukwe kuwa Meneja wa Diamond na Tip Top Babu Tale ndio aliyeamua kumsaidia baada ya Chid kuonekana kwenye TV akiwa katika hali iliyowatisha watu wengi na kuhoji amekubwa na nini kwani mwili wake ulionekana kudhoofu sana na kukonda kupita kiasa..
No comments