• Breaking News

    Washindi wa EATV AWARDS 2016 hawa hapa


    Historia imeandikwa kwenye tasnia ya sanaa nchini ambapo kwa mara ya kwanza tukio la utoaji wa tuzo za #EATVAwards kwa wasanii wa muziki na filamu Afrika Mashariki, limefanyika usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam. 
     
    Tuzo hizo zilizoandaliwa na East Africa Television Ltd, zimekuwa za kwanza Afrika Mashariki, ambapo wasanii mbali mbali wamefanikiwa kujinyakulia tuzo zao.
      
    Tazama orodha nzima ya washindi hapa chini..
      
    Kipengele cha mwanamuziki bora wa kiume 
    G Nako – 'Original'
    Sheta –'Namjua'
    Mwana FA – 'Ahsanteni kwa Kuja'
    Alikiba – 'Aje' --- MSHINDI 
    Ben Pol – 'Moyo Mashine'
      
    Mwana muziki bora wa kike 
    Lilian Mbabazi – 'Yoola'
    Ruby – 'Forever'
    Lady Jay dee – 'Ndindindi' --- MSHINDI 
    Linah – 'No stress'
    Vanessa Mdee – 'Niroge'
      
    Mwanamuziki bora chipukizi 
    Manfongo – 'Hainaga ushemeji' --- MSHINDI 
    Feza Kessy – 'Sanuka'
    Rukia Jumbe (Ruky Baby) – 'Mpasuo'
    Bright – 'Nitunzie'
    Mayunga – 'Nice couple'
      
    Kundi bora la mwaka 
    Navy kenzo – 'Kamatia chini'--- MSHINDI 
    Mashauzi Clasic - 'Kismat'
    Team Mistari – 'Tuzidi'
    Sauti Sol – 'Unconditional bae'
    Wakali wao – 'Chozi langu utalilipa'
      
    Video bora ya mwaka 
    Njogereza – Navio
    Namjua – Shetta
    Aje – Alikiba -- MSHINDI 
    Don't Bother – Joh Makini
    Ndindindi – Lady Jaydee
      
    Wimbo bora wa mwaka
    Don't bother – Joh Makini
    Ndindindi - Lady Jayedee
    Kamatia chini - Navy Kenzo
    Moyo mashine – Ben Pol
    Aje – Alikiba --- MSHINDI 
      
    Filamu bora ya mwaka 
    Facebook profile
      
    Safari ya Gwalu --- MSHINDI 
    Mfadhili wangu
    Hii ni laana
    Nimekosea wapi
      
    Muigizaji bora wa kiume 
    Meya Shabani Khamisi
      
    Salim Ahmed (Gabo) --- MSHINDI 
    Daudi Machael (Duma)
    Doto Hussein Matotola
    Said Mkukila
      
    Muigizaji bora wa kike 
    Chuchu Hansy --- MSHINDI 
    Rachel Bithulo
    Frida Kajala Masanja
    Khadija Ally
      
    TUZO YA HESHIMA
    DJ Maarufu bongo Boniventure Kilossa (Dj Bonny Love) ndiye mtu aliyepewa tuzo maalum ya heshima, akitambuliwa kutokana na mchango wake kwenye tasnia ya sanaa hapa nchini

    No comments

    Post Top Ad