MEYA Chadema aeleza Ubungo Aitakayo
Meya wa Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam, Boniface Jacob amesema
kuanzia mwezi ujao wataanza oparesheni ya kukusanya mapato
yatakayokwenda kwenye miradi ya maendeleo.
Jacob alitoa kauli hiyo juzi baada ya kukakibidhi msaada wa Sikukuu ya Krismasi zenye thamani ya Sh2 milioni kwa makundi mbalimbali wakiwamo watu wasiojiweza.
Miongoni mwa zawadi hizo ni mbuzi tano, mchele kilo 200, juisi na guni la viazi.
Alisema halmashauri hiyo ni mpya na bado hawajajua mapato yanayokusanywa kwa mwezi ingawa lengo ni kufikia Sh36 bilioni kwa mwaka.
Jacob alitoa kauli hiyo juzi baada ya kukakibidhi msaada wa Sikukuu ya Krismasi zenye thamani ya Sh2 milioni kwa makundi mbalimbali wakiwamo watu wasiojiweza.
Miongoni mwa zawadi hizo ni mbuzi tano, mchele kilo 200, juisi na guni la viazi.
Alisema halmashauri hiyo ni mpya na bado hawajajua mapato yanayokusanywa kwa mwezi ingawa lengo ni kufikia Sh36 bilioni kwa mwaka.
No comments