• Breaking News

    Ajali Mbaya ya Noah na Lori la Mizigo Yaua watu 17 Mkoani Shinyanya

    Watu 17 wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha lori la mizigo aina ya Scania lenye namba za usajili T198CBQ na Noah ya abiria yenye namba za usajili T232BQR iliyotokea jana usiku katika kijiji cha Nsalala mkoani Shinyanga.

    No comments

    Post Top Ad