• Breaking News

    Mbunge Professor Jay Akibeza Kingereza..

    Msanii wa Hip Hop na Mbunge wa Mikumi, Professor Jay amesema kutokujua Kiingereza siyo dhambi. "Hii sijui kiingereza, Kiingereza ni Kushoboka tu. Viongozi wengi mbona tunaona wanakuja hapa Tanzania hawajui Kiingereza."

    Kwa upande wako unadhani kuna umuhimu wowote wa kukijua kiingereza?

    No comments

    Post Top Ad