• Breaking News

    Gigy Money akiri kutembea Kimapenzi na Alikiba pamoja na Abdukiba

    Katika miaka 19 aliyoishi Duniani hakumbuki idadi ya wanaume ambao ameshalala nao
    Akiwa amezaliwa katika Familia ya Watoto wanne ambao kila mtu ana Baba yake, kwa upande wake HAKUWAHI KUMJUA BABA YAKE

    Mama yake alimzaa pembeni ya mlango wa choo, na ni mtu aliekuwa akiwa anaamini hapendwi na Mama yake mzazi kutokana na sababu tofauti kabla hajagundua ukweli.

    Aliwahi kujitoa kimwili katika umri mdogo ili apate hela ya kuweza kumnusuru MAMA yake mzazi kulipa Deni la mkopo wa Benki

    Ametaja MASTAR WA KITANZANIA ambao ameshawahi kushirikiana nao kingono kama


    LIST HII YAPA:

    1. ALIKIBA
    2. ABDU KIBA
    3. CASTRO DICKSON
    4. HAMED PHD
    5. RICH MAVOKO
    6. HARMONIZE

     Haya yote kayaeleza wakati akiojiwa katika kipindi cha Take One cha Zamaradi mtetema...



    Angalia Video

    No comments

    Post Top Ad