• Breaking News

    Zari Hassan Amsifia Mama Yake, Asema Sio Mswahili na Mwenye Hekima...

    Lile timbwili la madale bado linaendelea kuwaka moto , hivi karibuni mzazi mwenzie na Diamond, Zari Hassan amepost picha akiwa na mama yake mzazi huku akimwagia sifa kemkem kuwa Mama yake huyo ana tabia nzuri ,ana hekima na kumfananisha na queen ,kitendo hicho kimetafsiriwa na wapenda ubuyu mjini kuwa zari alimrushia dongo mama wa mzazi mwenzie Diamond ambaye amekua na sifa ya kuwa mkorofi,mshari na asiyependa amani na mkwe wake huyo mtarajiwa
    Ameandika hivi:

    Zarithebosslady
    She was born and raised like a Queen, acts like a Queen, behaves like a Queen, slays like a Queen, moves gracefully like a Queen. Even If she knows she ain't a Royal deep down she is one. Slay Queen, Mama Africa Mrs Halima Hassan

    No comments

    Post Top Ad