• Breaking News

    Wauguzi Manesi Waliosababisha Mama Mjamzito Akajifungulia Korido Watumbuliwa


    SHINYANGA: Wauguzi wawili wa kituo cha Afya Lyabukande, wamesimamishwa kazi sababu ya uzembe uliosababisha mwanamke mjamzito kujifungulia kwenye korido.

    Pia wamefunguliwa mashtaka kwa tuhuma za kukiuka maadili ya utumishi. ..

    No comments

    Post Top Ad