• Breaking News

    Mkoa Paul Makonda Atangaza Msako wa Nyumba Kwa Nyumba Kuwabaini Wasio na Kazi Maalum


    Mkuu wa mkoa wa Dar, Paul Makonda ametangaza msako wa nyumba kwa nyumba kuwabaini wakazi wa Dar wasiokuwa na Kazi maalum za kufanya.
    Amesema Jeshi la Polisi litaanza msako huo wakati wowote na ameomba ushirikiano wa viongozi wa Serikali za Mitaa, viongozi ambao hawatatoa ushirikiano watakamatwa na kutiwa nguvuni.

    No comments

    Post Top Ad