• Breaking News

    Mcheza Mpira wa Basketi Mtanzania Aishie Marekani Afariki Dunia Baada ya Kutumbukia Mtoni


    TANZIA: Mtanzania, Samson Charles Bidan (20), aliyekuwa akiishi huko katika jiji la North Plate nchini Marekani, amefariki dunia baada ya kutumbukia mtoni
    Alikuwa mchezaji wa mpira wa kikapu akijiandaa na mashindano ya michezo vyuoni (NCAA)

    No comments

    Post Top Ad