• Breaking News

    Kama Ulikuwa Unajiuliza Wanawake wa Mjini Wanaishije Bila Kazi na Huku Wanamaisha Mazuri Soma Hii

    Msichana akitaka PERUVIAN HAIR mpya wala
    hahangaiki sana...Anaingia kwenye PHONEBOOK yake
    anachagua Madanga yake 20 anayoyaamini kwamba
    hayawezi kumuangusha...AnaCOMPOSE Meseji
    Tamuuu ambayo kila danga likipokea linahisi hiyo ni

    Meseji yake peke yake. "Babe Mambo,Nimekumiss leo hadi nimekuota yaani
    nimeamka So Wet I really miss my Pompolimpo,pole
    na kazi mme wangu I wish I was there nikumassage
    na Ulimi hadi usinzie..Leo Niko zangu tu home sijatoka
    nlikuwa naangalia Muvi mara LUKU imekata hapa na
    sina hata Salio.Una Sh 30,000 unitumie ninunue Luku babe wangu?Please maana kutoka mpaka ATM saa
    hizi usiku.Love you xoxoxo"
    Akimaliza Anatengeneza BROADCAST LIST
    anawaweka yale Madanga humo halafu anatafuta
    Option inaitwa SEND TO MANY,anafowadi lile meseji
    TWAAAAP!!Anauchuna kama dakika 5 hivi,meseji za Muamala zinaanza kutiririka kutoka Ukonga mpaka
    Tegeta,Sinza mpaka Makongo Juu
    "Imethibitishwa umepokea 30,000 kutoka kwa Rajabu
    Kistuli"
    "Imethibitishwa umepokea 32,000 kutoka kwa Justine
    Kipipa" Nusu saa tu kashakusanya LAKI 6 kesho yake
    anaamka anaenda dukani kwa @heavenhairtz @
    heavenhairtz
    anaagiza Peruvian yake ya Inchi 6 jioni unamkuta
    NEWS CAFE anawaka huku anakunywa Milkshake ya
    Vanilla. We unabaki kujiuliza Demu wa 1st year ana iPhone 6s
    kaipata wapi na Bodi ya Mikopo haijaingiza
    BOOM,wenzio wana MABOOM BINAFSI wanaCLICK tu
    hela kibwena.
    Demu akiamua Kupauka ni Maamuzi binafsi tu,Wana
    Mbinu hawa Viumbe Balaa,kufa njaa labda awe Mgoloko wa Tandahimba amekuja juzijuzi na Fuso la
    Mafenesi ila watoto wa mjini hawaishiwi!

    No comments

    Post Top Ad