• Breaking News

    Hatimaye Geryson Msigwa Athibitshwa Kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu.

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli amemthibitisha Geryson Msigwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu. Kabla Geryson Msigwa alikuwa akikaimu cheo hicho.
    Aidha Mh. Rais amemteu Jerry Muro aliyekuwa msemaji wa Timu ya Mpira wa Miguu Yanga kuwa msaidizi wake.

    Hongereni Kurugenzi ya Habari Ikulu kwa nafasi hizo

    No comments

    Post Top Ad