Tetesi ya Siri Nzito Kati ya Diamond na Mrembo Aliyecheza Kwenye Video ya Raymond Kwetu Hii Hapa



Wakati wengine wakirusha madongo kwa Diamond na Mrembo huyo Wengine wanampongeza Diamond kwa kuopoa kitu kizuri....
Soma Huyo Alichoandika:

"UMEJUA KUCHAGUA
Asanteeeeeee @diamondplatnumz c kwa uchaguzi huu kabla hujampata huyu ndo MZURI uliyemmiss kwa hawarakikongwe unakuza tuu mtoto wa jirani yetu_ila mnambemenda mtoto we unapiga mama anachakazwa bila kukaedit katoto kanatia hurumasema video queen moyoni ashakutia DOA na hulitoi hata kwa jiki hahaa ila domo unaroho mbaya video queen umempangia mjengo katulia tuli Bibi nae ungempangia gheto south aache habari ya ntombe nilale huyu video queen wa msanii wako RAY n saluuuuutemtoto Hana makunyanzi usoni kama hawarakikongwe bila kuedit picha kuwa ya njano hapost @zarithebosslady unaswaga za kitoto unaedit picha kama upinde wa mvua tokea lini we Ukawa rangi sawa na majani yaliyopigwa juahahaha yamebaki mapenz ya insta moyoni network haisomi hureee wapi Lyn Mkali wako @zarithebossladyDOMO WE NI MFUNGWA ULIYESHINDIKANA UNAIBA MPK JELA SIJUI WATAKUFUNGA WAPI"
No comments