• Breaking News

    Diamond Platnumz Anunua Nyumba Mpya Dar es Salaam Maeneo ya Sala Sala...Bei Aliyonunulia Ipo Hapa

    Diamond platnumz ameendelea kuonyesha yeye ni msanii wa kuigwa baada ya leo hii kununua nyumba mpya iliyopo dar es salaam maeneo ya salasala mwanzo
    Nyumba hiyo imemgharimu diamond zaidi milion 100 za kitanzania.
    Wasanii wengine wanapwa kuekeza kwenye ardhi ili kesho yake wasikose pakujificha.
    Hongera sana kijana diamond una umri mdogo lakini unajitambua 

    No comments

    Post Top Ad